Askofu Method
Kilaini Bukoba Catholic Diocese
---
Kwa masikitiko
makubwa nimesoma katika gazeti la Mwananchi kwamba nimeiponda safu ya uongozi na
sekretariati ya CCM. Mimi sijaongea na gazeti lolote juu ya uongozi wa CCM na
wala sina nia au sababu ya kuuponda uongozi huo. Ni vibaya kwa gazeti lo lote
lile kutumia jina la mtu kwa kueneza maoni yake. Kama ni waugwana natumaini
watasahihisha waliyoyaandika. Nasikitika sana kwa walikwazwa na hilo. Askofu
Kilaini
Askofu Method
Kilaini
Bukoba Catholic
Diocese
No comments:
Post a Comment