Sunday, November 18, 2012

ULINZI MKALI KATIKA KESI YA SHEIKH PONDA





Baadhi ya watuhumiwa na nduguzao wa karibu wakikaguliwa kabla ya kuingia katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu iliyopo jijini Dar es Salaam jana kusikiliza shauri linalomkabili Kiongozi wa Jumuiya ya Waislamu, Sheikh Ponda Issa Ponda na wenzake 49.Hata hivyo shauri hilo lilihairishwa hadi Novemba 29. 

No comments:

Post a Comment