Thursday, November 22, 2012

:Rais Jakaya Kikwete Amjulia Hali mtoto mgonjwa katika hospitali ya CCBRT Jijini Dar Es Salaam

 
 


Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete Akisalimiana na mtoto aliyejitambulisha kwa jina la Kanoni anayetibiwa katika hospitali ya CCBRT wakati alipoitembelea hospitali hiyo jana ambapo alipokea msaada wa shilingi Bilioni nane kutoka Kampuni ya VODACOM kwaajili ya ujenzi wa hospitali itakayoshughulika na kutibu wanawake waliothirika na ugonjwa wa fistula pamoja na magonjwa ya ulemavu wa watoto jijini Dar es Salaam.Picha na Freddy Maro-IKULU

No comments:

Post a Comment