Thursday, November 22, 2012

MKUU WA MKOA WA MWANZA EVARIST NDIKILO AAZIMISHA UZINDUZI WA KAMPENI ZA WAZAZI-MWANZA

 


Msanii wa Kikundi cha ngoma za asili cha Bujora akiwaburudisha wakazi wa Mwanza katika kucheza na nyoka aina ya chatu katika uzinduzi wa Kampeni ya Wazazi nipendeni.
Msanii wa Muziki wa Kizazi kipya Khalid Mohamed ‘TID’ al-maarufu Mnyama akiwaburudisha wakaazi wa jiji la Mwanza waliofika kwenye viwanja vya nyamagana kushuhudia uzinduzi wa Kampeni hii ya wazazi nipendeni!
Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Injinia Evarist Ndikilo akipata maelezo kutoka kwa afisa wa shirika la Agakhan, pale alipotembelea banda lao katika maadhimisho ya uzinduzi wa kampeni za Wazazi Nipendeni. Hospitali ya Agakhan ilikuwa ni baadhi ya wadau walioshiriki katika sherehe hizi na kutoa bure huduma za kiafya kwa wajawazito wa jiji la Mwanza. Sherehe hizi ziliandaliwa na kampuni ya Footprint ya Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment